Stamina Aandaa WAZO LA LEO [REMIX]... Je MwanaFA Atakuwemo??

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapper kutoka MORO TOWN, Stamina Kabwela seem to be busy now kutengeneza remix ya ngoma kali inayojulikana kama WAZO LA LEO...
Stamina ameonekana kufanya hivyo hasa baada ya original version ya ngoma hiyo kufanya vizuri sana akiwa ameshirikisha rapper kutoka Rock City [MWANZA] Fid Q...
Stamina ameshawishika kufanya hivi as in fans pia kutaka kuona wakali wengine wa hip-hop ambao wanafanya kama yeye wanawezaje kuonesha umahiri kwenye mdundo mkali huo wa Producer P-Funk Majani [BONGO RECORDS].
Earlier today, rapper Stamina alionekana kumu-approach rapper mwingine mkali kutoka TANGA, Hamis Mwinjuma famously known as MwanaFA na kumuhitaji kushiriki katika remix hiyo...
This is how it went down... Stamina (@StaminaKabwela on twitter) alianza,"FA fresh bro nafanya rmx ya wazo la leo nakuhitaji braza kwa uwepo wako wa mistari 8 tu kama inawezekena"... Stamina wouldnt ask for more kutoka kwa braza MwanaFA but mistari 8... #HipHop
MwanaFA (@MwanaFA on twitter) replied, "Tuongee kwenye simu bro..."
Stamina amekuwa ni msanii mpya kwenye game la hip-hop hapa Bongo akifanya vizuri kwa takribani tracks 4 au 5 sasa... He's making WAZO LA LEO remix... And MwanaFA can surely fit on this one...

Swali : Je MwanaFA atakuwemo kwenye remix hiyo??
Naamini mimi na wewe tunaruhusiwa kusubiria hii... Stay Tuned !!
Source: GongaMx
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad