Udsm Hall 2 na 5 Zenye Ghorofa 11 Hazina Muda Mrefu Zitadondoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa aliye pita karibuni au wanaoishi maeneo hayo ama Kuishi kabisa Kwenye Bweni Hizo watakubaliana na mimi kuwa majengo haya ya Bweni za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chakavu na yana nyufa na hayajafanyiwa ukarabati muda mrefu siku yakianguka usiku wanafunzi wakiwa wamelala yote 2 yataua wanafunzi 50002....Angalizo....Chukua Tahadhari


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. We mwandishi ni MUONGO kuliko watu wote nlowahi kuwajua. Hayo mabweni mawili hayana uwezo wa accomodate watu elfu hamsini kama ulivyoreport. Kamwe ghorofa haiwez dondoka kwa kutokufanyiwa ukarabati kwa kua hata likifanyiwa ukarabati ni rangi plus other finishing stuffs ndo zinarekebishwa na sio nguzo zinazoshikilia jengo

    ReplyDelete
  2. Jamaa ni noma kwa uwongo udsm nzima hatuzidi watu 25000 duh punguza kudandia headlines kisa limedondoka ghorofa leo ishakuwa ishu..

    ReplyDelete
  3. kakosea idadi tu,,, cha msingi nyie kama wasomi angalia kile cha umuhim na mkifanyie kazi, kesho jengo likidondoka na akafa hata mtanzania mmoja tu haitokuwa noma?
    so usimwangalie mwandishi on negative perspective coz hata me nimeishi ktk hizo halls na kikukweli zimechakaa na kila siku vioo vinadondoka tu...
    SO TUSIJENGE MABISHANO, TUCHUKUE SOMO

    ReplyDelete
  4. Sio siri hayo mabweni ni chakavu, mimi mwenyewe nimeishi humo na ninayafahamu. Ukarabati ni jambo la msingi sana. Nashangaa sana kuona mwandishi wa pili hapo anatetea kuwa si mabovu. Kuna baadhi ya sehemu hata nondo zinaonekana , matokeo yake ni kupata kutu na mwisho wa siku jengo kuanguka. Tahadhari ichukuliwe.

    ReplyDelete
  5. Nyie mbulula kweli bana, ghorofa hua linakarabatiwa kivipi, itakuwa mlisoma art ndio maana hamjaelewa majibu ya kisayansi ya mtu wa kwanza hapo juu. Ghorofa linakarabatiwa rangi, dirisha, tile , milango nk ambayo hayahusiani na uimara wake. Sasa nyie mna maana gani kusema hajakarabatiwa. Kukarabati ghorofa lenye nyufa ni kulivunja na kujenga upya. Hayo maghorofa yapo toka mwaka 47 ns yalijengwa wakati wa elimu ya ukweli sio hii ya kina Mulugo. So jaribuni kuelewa vzr, mtoa mada kapotosha kweli kwa kudandia hoja haijui vzr

    ReplyDelete
  6. we mwandishi muongo mkubwa sana wewe! Hayo mabweni mawili hayana hta uwezo wa kuacommodate wanafunzi elfu hamsini na hata chuo kizima hakina hata idadi ya wanafunzi hao!

    ReplyDelete

Top Post Ad