Haiwezekani Nataka Kupima DNA Nimestuka!! Wanangu Hawajafanana na Mimi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenzenu jamani nahisi nmechakachuliwa,nina mke wangu tumezaa watoto wawili mmoja yuko na miaka mitano na wa pili miwili,kati yetu mimi na mke wangu nahisi kuna kitu kinaendelea na nimefanya uchunguzi wa kina na kuishia kwa majibu ambayo hayaniingii aklini na pili vilevile hawa watoto wanafanana exactly na watu ninao wahisi
Nkijaribu kurudisha hisia nyuma naona matukio yanafanana na mke wangu pia alikuwa amejipatia ujauzito kwenye mazingira ya kutatanisha,Huyu wa kwanza anafanana sana na boyfriend wake wa zamani ambaye mimi namjua!kipindi yuko mjamzito nilishawahi kumfuma na meseji kibao za mahapa na njemba hilo!
Huyu wa pili anafanana sana na Babu mmoja hapa mtaani kwetu anashona viatu
Huyu mara nyingi nmeshawahi kumkuta home anajisingizie kuja kuchukua viatu,mbaya zaidi hata huyu mtoto huyu mwwanamke anajitahidi sana kumjengea mazoea nae
Sasa naombeni ushauri jamani mm nifanye nini?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Duh katuni Kaka Hapo ni kuzinduka maana imesha kula kwako Midhari Umesha hisi ni vyema ukakata mzizi wa fitina kwaa kwenda kupima DNA tena kimya kimya bila yeye kujua

    ReplyDelete
  2. Ushauri wa nini ili hali unamashaka na vya kukudhibitishia vipo, you have to go faster for DNA test.

    ReplyDelete
  3. Usikubali Kaka nenda kawapime manake wanawake wa siku hizi wamezidi kutubambikizia mitoto ya mitaani

    ReplyDelete

Top Post Ad