AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Flora alisema wale waliokuwa wakidhani uchumba wao ni geresha walie tu kwani siku ya kutimiza ndoto yao ya kuishi kama mke na mume imekaribia.
“Tuko kwenye maandalizi ya ndoa yetu baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, sasa tumeamua kufunga ndoa na sherehe ya ndoa itafanyika Juni 8, sendoff Juni 4 mwaka huu ikiwa Mwenyezi Mungu atatujaalia uzima,”alisema Flora ambaye kwa sasa ni mjamzito.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK