AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mimi ni Msichana wa miaka 19 Nilipoingia 4m 5 nimesoma shule ya girls only...nilimpenda rafiki yangu
mmoja sanaaaa kuliko wote...nilimpa zawadi nyingi hata wakati wa likizo
nilikuwa namtembelea kwao..nilimpenda sana...kila tukigombana
tunasameheana.juzi aliniboa kidogo nikamtumia sms za hasira za kwamba
cmpendi tena amen ila badaae hasira zilipoisha nkajikuta nalia sana
kumpoteza rafik yangu nilimuomba msamaha ila hakunijibu bkoz sms
nilizomtumia zilikuwa mbaya sana.Nimemuomba msamaha ila hajanijibu..bado nampenda sana yaaani hata boyfriend wangu simpendi kama navyompenda huyu rafiki yangu japo si wapenzi ila namfeel sana yaaani sometime natamani nimkiss japo ni msichana mwenzangu ...Naogopa jamani nishaurini ama ndio hizi wanazosema dalili za Usagaji
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
sms hazitoshi so fanya mpango mfate kwao then ujaribu kusema nae
ReplyDeleteit may be!but rely sana kwawanaume!hapo umeathirika kisaikologia!
ReplyDeleteusagaj uwo
ReplyDeleteUnaonyesha utakuja kuwa LISAGAJI lililokubuhu wew
ReplyDeleteHaujapata mwanaume mzoefu akakukung'uta mboro vizuri utabadili tu hizo hisia na kuziamishia kwa mwanaume wew
ReplyDelete