AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii sasa ni hatari sana kwa ajira za vijana wa Arusha hasa sisi madereva tax na wasindikiza wageni!!
Huwa nina kawaida ya kupata breakfast pale metropole na miezi kama hii huwa panajaa sana wazungu pale ndani,lakini ata leo nimeenda wamejaa masai tu!!
Bomu la Arusha,watalii 4,716 wafuta safari za Arusha,waenda Moshi na Nairobi!!!!!
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK