BOMU LA ARUSHA, WATALII 4,716 WAFUTA SAFARI ZA ARUSHA, WAENDA MOSHI NA NAIROBI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zaidi ya watalii 4,716 waliokua waje katika(summer season)ya mwaka huu hapa Arusha wamefuta safari zao uku wengi wao wakienda kenya na baadhi sasa kwenda mkoa wa kilimanjaro(moshi)kisa ni usalama mdogo kutoka na uchaguzi wa madiwani unaoendelea.

Hii sasa ni hatari sana kwa ajira za vijana wa Arusha hasa sisi madereva tax na wasindikiza wageni!!

Huwa nina kawaida ya kupata breakfast pale metropole na miezi kama hii huwa panajaa sana wazungu pale ndani,lakini ata leo nimeenda wamejaa masai tu!!

Bomu la Arusha,watalii 4,716 wafuta safari za Arusha,waenda Moshi na Nairobi!!!!!

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad