HUDDAH MONROE KUTUA BONGO-USO KWA USO NA DIVA LOVENESS

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekua mmoja wa wawakilishi wa Kenya katika BBA The Chase, mrembo Huddah Monroe (The Boss Lady) anatua Dar es Salaam, Tanzania ku-host party ya “Mid Year Bash” siku ya jumamosi tarehe 29/june/2013. BASH hilo litafanyika ndani ya ELEMENTS LOUNGE, na limedhaminiwa na Unity Entertainmen, Heinneken, na Vocacom.....Watu wengi wanajiuliza itakuwaje pale watakapo kutana na Diva loveness ambae wamekuwa na beef kwenye mitandao wakimgombea Prezzooo...Aka the boy is Mine
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad