AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana usiku, mazoezi ya show yalikuwa yakiendelea katika ukumbi wa
NATIONAL MUSEUM sehemu ambayo
MwanaFA‘s show ya
THE FINEST itafanyikia … At our presence, band nzima ya
KILIMANJARO (Wananjanje), MwanaFA, Mandojo & Domokaya, Ben Pol, Dully Sykes, Linah, Maua na wengineo walikuwa wanajiandaa vyema kwa ajili ya
Corporate Hip-Hop show hiyo itakayofanyika leo kuanzia saa 3 usiku …
Tazama baadhi ya picha zikiwaonesha wasanii hawa katika rehearsal hiyo ;
Mzee Moddy with his Guitar !
The show is happening tonite!!!! Kama bado hujakamata ticket yako … Huu ndio wakati … See y’all There …#TheFinest
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK