AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akistorisha na paparazi wetu, Shamsa alisema japokuwa mwanamke yeyote anahitaji kuolewa lakini yeye anaogopa kuingia kwenye ndoa kwani wanaume ni watu wa kubadilikabadilika kama kinyonga ambapo huwanyima uhuru wake zao kwa kuwawekea sheria kali.
“Naogopa ndoa mwenzenu, wanaume ni watu wa kubadilikabadilika. Nasubiri ahadi ya Mungu kama ni mapenzi yake nifunge ndoa na Dick basi itakuwa kama siyo siwezi kulazimisha kwani hapendi niigize kitu ambacho siwezi kukiacha,” alisema Shamsa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hayo ni kwa upande wako .hatujamsikia mwenzio tukajua nani mkweli. kama kweli ndogo bd ..mungu ataonyesha njia. maake Dada zetu na nyie siku Hizi mnahalibu then..wanaume wanasingiziwa.
ReplyDelete