AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana DODOMA katika show ya Kilimanjaro Ommy Dimpoz na madansa wake wamejikuta wakiambulia kupigwa mawe na chupa jukwaani, hali iliyowafanya walikimbie jukwaa...
Pamoja na kupigwa mawe na makopo, jamaa walijikaza kisabuni mpaka baunsa akaamua kuwatoa jukwaani ili kunusuru roho zao.....
Kisa cha kupigwa mawe nkinatokana na tusi la Ommy Dimpoz kwa marehem Ngwea...
Ommy alimtusi Ngwea kwa kudai kuwa ujinga wake ulimfanya afe masikini na kwamba yeye kwa sasa amechoka kuzika watu masikini...
ANGALIA VIDEO HIYO HAPA CHINI
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
dah noma kweli km vp aombe radhi huyo dogo watamuua
ReplyDeleteDogo mpumbavu sana huyu!!agongwe mawe barabara!!
ReplyDeleteSiku zote jaribu kuulinda mdomo coz hauchelewi kuisaliti nafsi mdomo umekuponza kaka!! POLE
ReplyDeleteha ha ha bora walivyo mfanyia hivyo
ReplyDeleteTena na bado hapo n Dodoma bado mikoa mingne Ngwea alkuwa supanyota bahna acha ye anaefanya v2 kwa kuiga.
ReplyDeleteTena su huyu nguruwe pori anajileta huku US kupiga show tamfanyizia tamchapa risasi tu wacha ajilete tu huku cha moto atakiona
ReplyDeleteAkome kwanza cmpend na dharau zake
ReplyDeleteHuyu dogo ni MATAKO
ReplyDelete