AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na FC , msanii huyo amesema kuwa Jack Wolper anatumia jina lake ili apande na kuwa Maarufu (nyota ).
“Mimi ni mwanamke mpigaji na ninajua ninachofanya katika maisha yangu...
"Kuna wanawake hawajui misingi ya sanaa.Ni wanawake ambao wamevamia fani na kutuharibia sifa zetu kama wasanii..
"Mimi siwezi kugombana na mtu mwenye fani moja ,tena ya kubebwa . Jack hana cha kufanya akifeli kuigiza labda arudie kazi yake ya kuuza vipodozi...Atafanya nini kingine hapa mjini zaidi ya kujiuza?,”alisema Baby Madaha na kuongeza:
“Jack anataka kukiki kwa kunichafulia jina langu, lakini mimi ni Star mwenye vision na najua nafanya nini katika Industry..
"Mimi ni kiongozi mtarajiwa .Nategemewa niongoze watu , sasa nikianza kugombana na watu itaniharibia ndoto zangu za kisiasa,”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umuongoze nani..ujinga mtupu wote wale wale tu kucheza uchi stejini
ReplyDeleteWote malaya hkn kitu labda uongoze malaya wenzio puccccc
ReplyDeletekweli mnajidanganya,unawezakua kiongozi kwenye taifa lamalaya wenzio,lakini sio TZ stupid beach!!
ReplyDelete