AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa polisi mkoani hapo alisema kwamba watu hao walikamatwa baada ya kukutwa msg hizo ktk simu zao za mikononi huku wakiwa wanasambaza kwa watu wengine.
Aliendelea kudai kua jeshi la polisi linatoa onyo kwa wale wote wanaowachafua viongozi wa kitaifa kwa njia za ujumbe kwa simu na kwamba watawachukulia hatua kali.
Source; Radio Free Afrika Matukio!
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ndo intelegensia ya jeshi letu ilipo ishia mambo mengine ni utani tu lakini wao wanashupalia na kuacha mambo ya msingi kama ujambazi, albino, vikongwe, mabasi kukimbia barabarani kama concord ina take off na kuua, mabom yaani shida tu. Dpp futa hiyo kase kwa akili ya kawaida tu hao watu wanatania na utani ni afya watu wanacheka hata kama umepata mlo mmoja unasahau njaa kwa
ReplyDeletemuda.
Mamayoooo zenu mnashindwa kutafuta walusha mabomu arusha mnashabikia upuuzi,chadema wanapigwa kila siku mnashidwa kutafuta suluhu na chadema mnafuatilia ushenzi.Ass holes
ReplyDeleteKamanda amembipu kikwete ,anajipitishapitisha,ili kikwete ampigie kwa kumpandisha cheo.Aibu!!!.
ReplyDeletenafikiri hata rais anatambua huo ni utani, kamanda umechemka cheo upandishwi ki hivyo
ReplyDeleteAchane umbulula, badala ya kushughulikia mambo ya msingi eti mnashughulikia msg!! fanyen kaz na c kutupotezea muda kwa vitu vya kipuuz nanma hii, ina maana wewe afande ndo mara yako ya kwanza kuona msg za utani???
ReplyDelete