AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dude na demu huyo aliyebainika kuwa ni msanii, walinaswa juzikati katika Hoteli ya Traventine Magomeni, jijini Dar wakijivinjari katika mikao ya kimalovee ambapo paparazi wetu alitumia kifaa maalum cha kupigia picha na kuwanasa bila wao kujijua.
Baada ya kuzinasa picha hizo, paparazi wetu alimvaa Dude na kumuuliza kulikoni agandane na demu huyo wakati ana mkewe nyumbani, alichomoa kuwa siyo demu wake bali ni msanii mwenzake eti wanapanga mipango ya kazi.
“Hapa tulikuwa tunapanga mipango ya kufanya filamu, huyu ni msanii tena wa siku nyingi sababu aliwahi kucheza kwenye Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu miaka ile,” alisema Dude huku akimsihi paparazi afute picha kama amekwisha piga.
Source:Global Publisher
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hivi ukiwa mhuni unapata cha zaidi gan! Utakufa na ukimwi,ridhika na mkeo, kama ulitaka ubachela kwanin ulioa?
ReplyDeletehahahaha mi nasemaga kila siku kama huko tayari kuoa please don't! Bcoz kuoa sio lelemama jamani ona sasa mnaumbuka. Pole Mrs Dude...ila mapaparazi wa bongo mmezidi umbea khaa!! Mtavunja ndowa za watuu lol
ReplyDeleteOnyinye.