AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wachungaji watano wa makanisa ya Kipentekoste waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma kwa kuendesha biashara ya upatu kupitia Taasisi yao ya Desi Tanzania na kuijipatia fedha kwa njia ya udanganyifu leo mmoja wao, Albogast Francis ameachiwa huru baada ya kuonekana hana hatia na wengine wanne wamehukumiwa kwenda kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya milioni 21 kila mmoja pamoja na kutaifishwa mali zao.
Kesi hiyo iliyokuwa ikiunguruma mahakama ya Kisutu Jijini Dar karibu miaka mine iliyopita mahakama hiyo kupitia hakimu wake Aloyce Katemana ilitoa hukumu hiyo baada ya kulidhishwa na ushahidi uliotolewa upande wa utetezi na Jamhuri. Waliopanda Desi nao waambiwa wanakesi ya kujibu.
Picha juu ni baadhi ya matukio yaliyojiri mahakamani hapo.
Source:GPL
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
tunataka mbegu zetu
ReplyDeleteHao wanyongwe tu na mbegu zetu tulizopanda zimeshaoza mbaka sasa
ReplyDelete