AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Rose aliandika
“Dah magazeti yanapenda chokochoko kweli haswa wakimuona mtu katulia....kama hujui uliza sio tu unaongea au unaandika kitu ambacho ukijui......mnaudhi sana”
Huku akionesha picha ya gazeti moja la udaku lilikouwa na habari hiyo.
Hapo awali iliripotiwa na baadhi ya mitandao ya habari na baadhi ya magazeti kuwa mwanadada huyu alionekana akipapaswa ndani ya gari na baadaye yeye na mwanamuziki huyo aliyotajwa kwa jina la dogo Nasry kwenda kuvunja amri ya sita katika hoteli ya chumba hicho.
Source:Bongo Movies
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
magazet ya udaku yako tele yanajua watanzania wengi kazi yao kubwa ni kufwatlia mambo ya wa2 na umbea
ReplyDeletehttp://ThePaidTask.com/?refcode=13584
ReplyDeletehttp://ThePaidTask.com/?refcode=13584
ReplyDelete