ROSE NDAUKA AWASHUKIA WALIOZUSHA NA KUSEMA ALIINGIA GESTI NA MSANII WA BONGO FLAVA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada Rose Ndauka amewawakia baadhi ya waandishi wanoandika habari zauongo kuhusu yeye kufuatia hivi karibuni kuripotiwa kuwa amekutwa kaitika nyumba ya wageni akivunja amri ya sita na mwanamziki mmoja wa muziki wa kizazi kipya.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Rose aliandika

Dah magazeti yanapenda chokochoko kweli haswa wakimuona mtu katulia....kama hujui uliza sio tu unaongea au unaandika kitu ambacho ukijui......mnaudhi sana

Huku akionesha picha ya gazeti moja la udaku lilikouwa na habari hiyo.



Hapo awali iliripotiwa na baadhi ya mitandao ya habari na baadhi ya magazeti kuwa mwanadada huyu alionekana akipapaswa ndani ya gari na baadaye yeye na mwanamuziki huyo aliyotajwa kwa jina la dogo  Nasry kwenda kuvunja amri ya sita katika hoteli ya chumba hicho.

Source:Bongo Movies
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. magazet ya udaku yako tele yanajua watanzania wengi kazi yao kubwa ni kufwatlia mambo ya wa2 na umbea

    ReplyDelete
  2. http://ThePaidTask.com/?refcode=13584

    ReplyDelete
  3. http://ThePaidTask.com/?refcode=13584

    ReplyDelete

Top Post Ad