AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini kuna tatizo moja ambalo nimeligundua kwa baadhi ya dada zetu wanaomiliki magari, usije ukaona Mdada ameshuka ndani ya gari lake amependeza ukadhani na gari lake ni nadhifu, utakuwa unajidanganya, hebu lisogelee kisha uchungulie ndani utashangaa.
Yaani utakuta gari hilo limegeuka kama nyumba:
Humo humo utakuta kuna containers za kubebea vyakula, na huenda ukakutana na left overs a.k.a kiporo ambacho kinasubiri kupashwa moto kwenye microwave ya ofisini.
Humo humo utakuta Wardrobe yaani ndani ya gari utakutana na pair kadhaa za viatu, mikoba, pair kadhaa za mawani, make ups, mateitei, Magagulo, shumizi na vikorokoro vingine.....
Mimi huwa najiuliza kama hiyo ni nyumba au ni gari.
Msije mkanitia vidole vya macho, naomba mjirekebishe.........
Source:Jamii Forums
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kitu chochote ambacho hakipo mahali pake ni uchafu,madada hawa wanajali usafi wa nje tu,ni kama mashangingi ya magomeni yanayovaa gold kibao kumbe ukiona wanakoishi ni kama kiota cha panya.
ReplyDeletehyo nyo imewafany kuwa jeuri na kibur cha hali ya ju
ReplyDelete