MAGUFULI AIBUKA UPYA..ATOA MWEZI MMOJA KWA WANAO DAIWA MIKOPO YA NYUMBA KULIPA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametoa mwezi mmoja kwa watumishi wa Serikali ambao wanadaiwa mikopo ya nyumba kulipa madeni yao mara moja na kuonya kwamba ikiwa watashindwa kulipa, watanyang’anywa nyumba hizo na watakopeshwa watu wengine.

Dk Magufuli ameibuka na hoja hiyo mpya, zikiwa ni siku chache tangu alipopigwa ‘stop’ na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutekeleza sheria ya kuondoa msamaha wa asilimia tano kwa mizigo inayozidi kwenye malori, hali ambayo ilizusha mvutano mkubwa baina ya Serikali na wasafirishaji wa mizigo nchini.

Akizungumza wakati wa kuweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa nyumba 851 za watumishi wa Serikali eneo la Mabwepande jijini Dar es Salaam, Dk Magufuli alisema watumishi 2500 hawajalipa mikopo ya nyumba walizonunua.

Dk Magufuli alionya kuwa atafuatilia suala hilo na kuhakikisha madeni hayo yanalipwa mara moja, huku akimwomba Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal kumuunga mkono kwenye jambo hilo, ambalo ni utekelezaji wa sheria za nchi.

“Naomba ifahamike kwamba tunapojenga nyumba kwa ajili ya kuwakopesha watumishi wa umma tunataka kuboresha makazi yao. Pia fedha tunazokusanya zinasaidia kujenga nyumba zaidi,” alisema Dk Magufuli. Hata hivyo alisema hadi sasa watumishi wa Serikali 4,900 ambao walikopa nyumba hizo tayari wamelipa madeni.

“Mimi nafanya kazi kwa kufuata sheria na kila mtumishi wa Serikali anafahamu jambo hilo, hivyo watu ambao wanajua tunawadai wakae kwa tahadhari, kwani ndani ya mwezi mmoja kama hawatalipa tutawachukulia hatua bila kupuuzia,” alionya Magufuli.

Hii siyo mara ya kwanza kwa Dk Magufuli kutangaza kunyang’anya nyumba hizo, kwani alifanya hivyo mwishoni mwa Machi mwaka jana pale alipouagiza uongozi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuwapa siku saba watu wote walionunua nyumba hizo kulipa madeni yao.

Dk Magufuli aliwataka TBA kutoa ilani ya maandishi inayowataka wahusika walipe fedha hizo ndani ya wiki moja vinginevyo wangenyang’anywa kwa maelezo kwamba wanachelewesha malengo ya TBA kujenga nyumba zaidi. Hata hivyo, hakuna taarifa zozote zilizowahi kutolewa kuhusu kutekelezwa kwa amri hiyo iliyotolewa zaidi ya miezi 18 iliyopita.

Jana, Makamu wa Rais, Dk Bilal alimuunga mkono Magufuli akisema: “Naunga mkono tamko la Waziri wa Ujenzi kwamba ni lazima watumishi wa Serikali ambao wanakopeshwa nyumba walipe haraka ili fedha hizo zisaidie kujenga nyumba nyingine.”

Dk Bilal alikuwa mgeni rasmi katika shughuli ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba 851, kwenye eneo la Bunju ‘B’ Kinondoni, Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa TBA, Elius Mwakalinga, alisema ujenzi huo unafanyika kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza iligharimu Sh2 bilioni na awamu ya pili Sh1 bilioni.

“Nyumba 851 zinazojengwa Bunju B ni sehemu ya ujenzi wa nyumba 4,400 katika Mkoa wa Dar es Salaam na nyumba 10,000 kwa nchi nzima,” alisema Mwakalinga.

Hafla hiyo ilisimama takriban kwa dakika 10 wakati Dk Bilal akitaka kuhutubia baada ya jenereta kushindwa kufanya kazi, hivyo kumlazimu kurudi kuketi kwenye kiti hadi umeme uliporejea. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana alilazimika kwenda kufuatilia suala hilo na mafundi waliokuwapo walifanikiwa kuunganisha mashine za kipaza sauti na umeme wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), hivyo Makamu wa Rais aliendelea kuhutubia.



Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

20 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. waziri makufuli tunakuunga mkono hata sisi wananchi lazima sheria zifuatwe ili kazi ifanyike japo kuna wanaokupinga

    ReplyDelete
  2. sawa barabara unajenga lakin mbona nyembamba sn ivi kwa magar ya dar unadhan folen itap ungua? Mh jipange sn kazi yako iwe nzuri

    ReplyDelete
  3. Je, wewe ni katika haja ya mkopo haraka? Je, unahitaji aina yoyote ya mkopo kuanzisha biashara? Je, unahitaji mkopo kununua nyumba au gari? Au je, unahitaji mkopo kulipa bili yako au kuchukua huduma ya ubinafsi wako?

    Barua pepe: jonnafinance@outlook.com
    Regards
    Mr Jonna

    ReplyDelete
  4. unahitaji mkopo kulipa bili zako? kama ndiyo wasiliana nasi kupitia leolobitohelpfunds@hotmail.com...

    ReplyDelete
  5. Hello, I am Mr. James wood, private loan lenders
    gives life time opportunity loans.
    Do you need a loan urgently to pay off your debts
    or you need a loan
    to improve your business?
    You have been rejected by
    banks and other financial institutions?
    Do you need a consolidation loan or mortgage?
    looking for more because we are here to make all
    problems
    Your financial terms
    of the past. We lend funds to individuals
    in need of financial assistance, that have a bad credit
    or in need
    money
    to pay bills, to invest on business at a rate of 2%. I
    want to use this
    medium to inform you that we provide reliable
    assistance and
    receiver and
    would be willing to offer a loan.So contact us today
    via
    email:
    jameswoodloan@gmail.com Data BORROWER 'S

    1) Full Name:...................................

    2)State: .......................................

    3) Address: ....................................

    4) Country: ....................................

    5) Sex: ........................................

    6) Marital Status: ................... .........

    7) Occupation: ..................... ...........

    8) Phone Number: ...............................

    9) Currently position in the workplace:.........

    10) Monthly income: ............................

    11)Loan Amount Needed: .. ......................

    12) Loan term:..................................

    13) Loan Purpose: ..............................

    14) Religion : .................................

    15) Do you apply before.........................

    16) Email ......................................

    17) Password ........ ..........................

    ReplyDelete
  6. Hello, Je, wewe kuangalia kwa mkopo wa biashara, mkopo binafsi, nyumbani mkopo,
    nk.? Sisi kwa sasa ni sadaka binafsi na biashara mkopo kwa mtu yeyote
    nia ya mtu binafsi katika 2% riba kutoka 1 kwa miaka 30.
    Jina:
    Tarehe ya kuzaliwa:
    jinsia:
    Hali ya ndoa:
    anwani:
    mji:
    nchi:
    simu:
    Kiasi cha mkopo:
    Mkopo Duration:
    Net mapato kwa mwezi.
    Kuwasiliana nasi: creditsolutionhome@outlook.com

    ReplyDelete
  7. Je, unahitaji mkopo haraka ?
    * Haraka sana na ya haraka uhamisho wa akaunti yako ya benki
    * Ulipaji huanza miezi nane baada ya kupata fedha katika yako

    akaunti ya benki
    * Low riba ya 2%
    * Ulipaji muda mrefu ( miaka 1-30) muda
    * Flexible mkopo sheria na malipo ya kila mwezi
    * . Muda gani kuchukua ili kufadhili ? Baada ya kuwasilisha maombi ya mkopo ,

    unaweza kutarajia kwamba jibu awali chini ya masaa 24 na

    fedha ndani ya masaa 72-96 baada ya kupokea taarifa tunahitaji

    kutoka kwako.

    Wasiliana halali na leseni kampuni mkopo mamlaka
    kuwa misaada ya kifedha kwa nchi nyingine.
    Kwa habari zaidi na maombi ya mkopo fomu Wasiliana sasa kupitia

    email : worldcashloan@gmail.com

    Mheshimiwa Paul WILLIAMS
    Mkurugenzi Mkuu
    CASHLOAN kampuni

    ReplyDelete
  8. Kwa nini unahitaji mkopo? au zaidi, wasiwe na wasiwasi, na kama ni hivyo, wewe haja ya kukopa fedha za kulipia Sheria yenu DEPT au kuwasiliana nasi moja kwa moja: Brandonalbertloanfirm@gmail.com

    Jina: ...
    Kiasi cha mkopo: ...
    Hali: ...
    Nchi:
    Simu: .....



    ReplyDelete
  9. Habari Mpenzi wangu,
    i am David Cruz ya Los Angeles katika Marekani kwa ajili ya kushuhudia kampuni hiyo ni hisia za binadamu na Mungu kuogopa watu, ambao nilikutana katika yahoo majibu katika si chini ya masaa 48, nilikuwa kutafuta kampuni zilizokopwa binafsi ambapo i wanaweza kupata usawa mkopo 590,000us inakadiriwa dola .so i aliona mtu kushuhudia kwa makampuni ambayo kutoa wake mkopo wa dola takriban 590,000us katika masaa 24 benki 'Kisha i kuwasiliana na kampuni kwa sababu i hawaamini ushahidi, hivyo i tu alisema basi mimi kujaribu kama kampuni inaweza kusaidia nje ya matatizo ya kifedha ni, Mheshimiwa Smith Alexanda mail yangu na yeye i na kujaza fomu ya kutuma mimi kwamba zitawawezesha kuendelea kwa mkopo mara moja na i hawana na i kufuata yote mchakato na wao alinipa, hivyo kushangazwa mkuu wa mkopo wangu alikuwa uhamisho wa akaunti ya benki si chini ya masaa 24. Sijui ni aina gani ya matatizo ya kifedha kwamba una au una ndoto ya kuwa na nyumbani yako mwenyewe. Makampuni haya ni uwezo wa kufanya ndoto yako ya kweli ya barua pepe ni sasa (smithloanfirm2016@gmail.com) na utakuwa na furaha kama sisi sasa i
    Asante

    ReplyDelete
  10. Hello,

    Salamu kwa jina la bwana. Jina langu ni Miss Taylor Shaw, Nina umri wa miaka 25, nina kutoka Marekani (U.S.A.), I am daugther tu wa marehemu Mr / Mrs. Shaw.

    Sina jamaa wowote kuanzia sasa kwamba naweza kwenda, kwa sababu i kushoto nchi yangu katika umri mdogo sana kukaa katika africa, Nigeria just kukaa na mama yangu ambaye anaongoza vituo vya gesi baba yangu katika nigeria

    Wazazi wangu mwenyewe vituo 12 gesi hapa nchini Nigeria ambayo serikali imekusanya yao kutoka kwangu kutokana na kumalizika leseni na yasiyo remitter ya malipo ya kodi.

    Nataka kwenda nyuma ya masomo yangu kwa sababu mimi tu walihudhuria mwaka wangu wa kwanza katika chuo kikuu kabla ya tukio la kusikitisha kilichotokea.

    Mimi nilikuwa kuwasiliana na Union Bank london plc kwamba kiasi kikubwa cha fedha ilikuwa zilizoingia katika benki ambayo i alikuwa na jina saini kwa akaunti, jina langu ilitumika kama pili ya jamaa.

    kiasi katika swali ni 4000000000 $ (sisi dola), benki alinijulisha leo.

    Lakini meneja wa benki aliniambia kuwa kabla i wanaweza kupata fedha hii kutoka benki, i watakuwa na kununua mabadiliko ya cheti umiliki ambayo gharama $ 2,500 dola na i hawana kiasi hicho pamoja nami.

    Hivyo l kama wewe kusaidia mimi kuhamisha fedha hii kwa akaunti yako na kutoka humo utakuwa kuchukua kiasi cha 40% basi utakuwa kutuma iliyobaki 60% ya fedha kwa taarifa za akaunti aliyopewa na wewe.

    Ninawapa ninyi kutoa hii kwa sababu i hawana nyingine yoyote chaguo kushoto.


    Regards
    Miss Taylor Shaw

    taylorshaw213@gmail.com

    ReplyDelete
  11. Hello,

    Salamu kwa jina la bwana. Jina langu ni Miss Taylor Shaw, Nina umri wa miaka 25, nina kutoka Marekani (U.S.A.), I am daugther tu wa marehemu Mr / Mrs. Shaw.

    Sina jamaa wowote kuanzia sasa kwamba naweza kwenda, kwa sababu i kushoto nchi yangu katika umri mdogo sana kukaa katika africa, Nigeria just kukaa na mama yangu ambaye anaongoza vituo vya gesi baba yangu katika nigeria

    Wazazi wangu mwenyewe vituo 12 gesi hapa nchini Nigeria ambayo serikali imekusanya yao kutoka kwangu kutokana na kumalizika leseni na yasiyo remitter ya malipo ya kodi.

    Nataka kwenda nyuma ya masomo yangu kwa sababu mimi tu walihudhuria mwaka wangu wa kwanza katika chuo kikuu kabla ya tukio la kusikitisha kilichotokea.

    Mimi nilikuwa kuwasiliana na Union Bank london plc kwamba kiasi kikubwa cha fedha ilikuwa zilizoingia katika benki ambayo i alikuwa na jina saini kwa akaunti, jina langu ilitumika kama pili ya jamaa.

    kiasi katika swali ni 4000000000 $ (sisi dola), benki alinijulisha leo.

    Lakini meneja wa benki aliniambia kuwa kabla i wanaweza kupata fedha hii kutoka benki, i watakuwa na kununua mabadiliko ya cheti umiliki ambayo gharama $ 2,500 dola na i hawana kiasi hicho pamoja nami.

    Hivyo l kama wewe kusaidia mimi kuhamisha fedha hii kwa akaunti yako na kutoka humo utakuwa kuchukua kiasi cha 40% basi utakuwa kutuma iliyobaki 60% ya fedha kwa taarifa za akaunti aliyopewa na wewe.

    Ninawapa ninyi kutoa hii kwa sababu i hawana nyingine yoyote chaguo kushoto.


    Regards
    Miss Taylor Shaw

    taylorshaw213@gmail.com

    ReplyDelete
  12. Je, wewe ni kifedha huzuni na wewe ni kuangalia kwa jinsi ya kupata mkopo? Je, unahitaji msaada wa kifedha kwa kuanza au kupanua biashara yako? umekuwa kuangalia kwa jinsi ya kupata ufikiaji wa Taasisi binafsi? wasiwasi tena kwa hili ni kampuni binafsi ambayo inatoa mkopo nafuu kwa kiwango 3%. mikopo Huduma zetu ni haraka na za kuaminika. uhamisho yetu ni uhakika na mafanikio ni uhakika. Kila aina ya mikopo zinazotolewa hapa. Ziara yetu kwa habari zaidi juu (bankofamericaloan36@gmail.com)

    ReplyDelete


  13. Do you need an urgent loan we offer worldwide loan to who in need of loan the business opportunity you having being looking for is here again. email us now at: mohanmendserves@gmail.com
    LOAN APPLICATION FORM
    1) Full Name:
    2) Gender:
    3) Loan Amount Needed:.
    4) Loan Duration:
    5) Country:
    6) Home Address:
    7) Mobile Number:
    8)Monthly Income:
    9)Occupation:
    )Which did you here about us.

    Best Regards.

    ReplyDelete
  14. Siku njema,
    Je, unahitaji haraka mkopo kuanza
    up biashara, au unahitaji mkopo
    kwa refinance, Je, unahitaji mkopo kwa
    kulipa deni? Je, unahitaji mkopo
    kununua gari au nyumba? Kama ndiyo wasiwasi
    tena, Tunaweza kukusaidia !!! mawasiliano
    nasi sasa kupitia E-mail kwa haraka yako
    mkopo.
    E-mail:
    davidadelekeloancompany@yahoo.com
    Asante.
    Mr David Adeleke
    -

    ReplyDelete
  15. Ndugu wanaotafuta mkopo

    Wewe katika matatizo yoyote ya fedha? Je, unataka kuanza biashara yako mwenyewe? Hii kampuni ya mkopo ilianzishwa Mashirika ya haki za binadamu duniani kote kwa madhumuni ya kusaidia maskini na watu wenye matatizo ya kifedha ya maisha. Kama unataka kuomba mkopo, kupata nyuma sisi na maelezo hapa chini ya barua pepe: elenanino0007@gmail.com

    jina:
    kiasi mkopo inahitajika:
    Loan Muda:
    Namba ya simu ya mkononi:

    Asante na Mungu awabariki
    kujiamini
    Bi Elena

    ReplyDelete
  16. Benki ya Barclays PLC. Reino Unido Kwa maelezo zaidi ya 2% ni ya 2%.
    El monto varía kati ya US $ 3,000 mínimo y US $ 300,000,000 máximo.
    Regresse ahora ya utangulizi wa 2 wa saa.
    Wasiliana na electrónico: barclaysbank.plc421@gmail.com

    ReplyDelete
  17. Je! Unahitaji mkopo wa haraka, mrefu au mrefu kwa kiwango cha riba cha chini
    chini ya 3%?

    Gregowenloanfirm1@gmail.com

    Tunatoa mkopo wa biashara:
    Mkopo wa kibinafsi:
    Mkopo wa nyumbani:
    Mkopo wa Auto:
    Mkopo wa mwanafunzi:
    Mkopo wa kuimarisha madeni: e.t.c.

    Haijalishi score.we yako ya mikopo ni uhakika katika kutoa nje
    huduma za kifedha kwa wateja wetu wengi duniani kote.
    Kwa vifurushi vyenye mikopo rahisi,
    Mikopo inaweza kusindika na kuhamishiwa kwa akopaye ndani
    muda mfupi iwezekanavyo.
     
    Ikiwa unahitaji kuwasiliana na mkopo haraka kupitia barua pepe:

    gregowenloanfirm1@gmail.com

    3% ya kuaminika mkopo kutoa uhakika.

    ReplyDelete
  18. We are specialized in Bank Guarantee {BG}, Standby Letter of Credit {SBLC}  
    Medium Term Notes {MTN}, Confirmable Bank Draft {CBD} as well as other financial instruments issued from AAA Rated bank such as HSBC Bank Hong Kong, HSBC Bank London, Deutsche Bank AG Frankfurt, Barclays Bank , Standard Chartered Bank and others on lease at the lowest available rates depending on the face value of the instrument needed.
    We deliver with time and precision as sethforth in the agreement. Our terms and Conditions are reasonable, below is our instrument description.
    The procedure is very simple; the instrument will be reserved on euro clear to be verified by your bank, after verification an arrangement will be made for necessary bank documents and stock testing expenses, the cost of the Bank We are specialized in Bank Guarantee {BG}, Standby Letter of Credit {SBLCGuarantee will be paid after the delivery of the MT760.
    DESCRIPTION OF INSTRUMENT:Instrument: Bank Guarantee (BG/SBLC).Total Face Value: Minimum of 1M Eur/USD (One Million Eur/USD) to Maximum of 5B Euro/USD(Five Billion Eur/USD).Issuing Bank: HSBC London, Barclays Bank, Deutsche Bank Frankfurt, Hong Kong, Any AA rated Bank in Europe or any Top 25 WEB.Age: One Year, One DayLeasing Price: 4% of Face Value plus 1% commission fees to brokers.Delivery: Bank to Bank SWIFT.Payment: MT-760.Hard Copy: Bonded Courier within 7 banking days.
    All relevant business information will be provided upon request plus our terms andprocedures.
    Contact name: Robert Scott
    Email : financegoldencrown342@gmail.com

    ReplyDelete
  19. Halo!
    Je! Unahitaji mkopo? Mimi ni mkopeshaji aliyesajiliwa na wa kuaminika, ninatoa mkopo kwa watu wenye shida za kifedha, watu wanaojaribu kulipa bili za shule, wale wanaojaribu kununua gari au kuanza huko wanamiliki biashara, makandarasi na wakala wa serikali. Kwa habari zaidi au fomu ya maombi ya mkopo Wasiliana nasi kwa barua pepe: (gerred.breinloanlenderr@gmail.com)
    Usimamizi. whatsapp: +27632656050
    Wasiliana na mkopo haraka sasa !!!

    ReplyDelete
  20. Je! Unataka kukopa pesa? kama ndio Wasiliana nasi leo kwa barua pepe: (richardcosmos5@gmail.com)

    Ofa ya Mkopo wa Haraka.

    ReplyDelete

Top Post Ad