AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alipofikishwa hospitali madaktari walimueleza wasingeweza kumsaidia sababu kipande cha uume alioukata kiliachwa sehemu ambayo alilifanya tendo hilo, hivyo ikaamuliwa arudi nyumbani kwake akakichukue ili aweze kupata matibabu.
Yang Hu, 26, alifanikiwa kurudi tena hospitali, huku akiwa na watu kadhaa, madaktari walimueleza kwamba kipande kilichokatwa kilipoteza damu nyingi sana hivyo ingeshindikana kuweza kukiunga tena.
Marafiki wa Yang walisema kila kukicha jamaa alikuwa anatingwa sana na mawazo kutokana na ukweli kwamba toka alipohamia jijini hapo hakuwahi kupata demu.
Mbaya zaidi, walisema, jamaa alikuwa akifanya kazi kwa masaa mengi kwenye kiwanda cha nguo ndani ya Jiaxing, kwenye jimbo la Zhejiang Mashariki ya China, huku wakihisi kuwa ndiyo kitu kilichomsababisha kutokuwa na muda wakukutana na mwanamke.
Msongo kichwani ulizidi kuongezeka kwa kasi, kiasi cha kumfanya kuzidi kujisikia vibaya zaidi, mnamo tarehe 27 Oktoba mara baada ya kurudi nyumbani majira ya saa 3 usiku jamaa alikodi chumba na kuamua kuukata uume wake kutokana na kuona kwamba hakikuwa ni kitu cha maama na hakikuwa na faida naye, huku akiamini kitendo hicho kingeweza kumsaidia kuacha kufikiria juu ya maswala ya mademu
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nyi watu waudaku hizi habari huwa mnasimuliwa au mnatunga muuze gazeti hivi hii habari kwa akilizenu timamu inawezekanaje uipost bila kuonyesha vigezo vya ukweli mbona hakuna chombo cha habari chochote china kinarecod ya hi habari mliipataje hebu tuambieni
ReplyDeleteBado mimi
ReplyDeleteHii ya kwenu wazushi wakubwa nyie, kwa china bado habari kama hiyo haipo
ReplyDeleteKama mtu huna habari si uende kulima tu, badala ya kuandika hadithi za kutunga ukaziita za ukweli...."Anza na HADITH HADITHI...." nasi tutasoma tu, lakini msitufanye hatuna akili....
ReplyDelete