STAGE YA KISASA YA SERENGETI FIESTA 2013 IKIWA BADO KWENYE MATENGENEZO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Jukwaa la kisasa kwa ajili ya Fiesta Serengeti Fiesta 2013 likiwa kwenye matengenezo ikiwa leo ni siku ya 9 likiwa kwenye matengezo ni jukwaa la kisasa lenye mashine za kisasa ambazo zitakuwa zikifanya kazi mbalimbali. Katika viwanja vya leaders club kutakuwa na screen kubwa ambazo zitakuwa zikionyesha matukio mbalimbali yanayoendelea, Serengeti Fiesta 2013 ni JUmamosi 26 Oktoba 2013 huku zaidi ya wasanii 300 wakitarajwa kutoa burudani hawa wakiwa ni wasanii wakali kutoka Tanzania na wasanii wa kimataifa ni wanne ambao ni mkali Mohombi, Iyanya,Davido na Alaine - Serengeti Fiesta 2013 Noma Saana Twenzetu!!




Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad