Hii Itawashangaza wengi lakini mie nimeipenda sana , Baada ya Ney wa Mitego Kuiponda Bongo Star Search na Kuuliza kama kweli washindi wanapewa zawadi huku akiwaponda kuwa wamechoka...Madam Rita Ameibuka na Kumpa Ujaji Ney katika shindano hilo ...Ataaza kuonekana Wiki Ijayo ,,Big up najua hii Itawavuta watu wengu kutazama show hiyo....
Huyu nae mm nasikia kwa viserenget mmmm
ReplyDeleteViserengeti na vikilimanjaro........ Anapenda kweli kuvinywa
ReplyDeletevinamkuna ndo maana anavipenda
ReplyDeleteEti anatoka na ali kiba wadau?
Delete