PROFESA JAY AKANUSHA TAARIFA ZA KWAMBA ATATUMBUIZA KESHO FIESTA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kupitia  account  yake  ya  facebook, Profesa  Jay amewataka  mashabiki  wake  watambue  kuwa  kuna  wabaya  wake  wali hack  account  zake  za  twitter  na  facebook  na  kutangaza  kwamba  kesho  atatumbuiza  katika  tamasha  la  Serengeti  Fiesta...


Taarifa  sahihi  ni  kwamba, yeye  hatahudhuria  tamasha  hilo  na  waliotangaza  taarifa  hizo  ni  adui wa  mafanikio  yake  ambao  walitumwa  na  vibosi  wao  ili  wamchafue.



Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad