JOKATE AMECHUKUA NAFASI YA VENESSA MDEE SHOW MPYA YA KITUO CHA TV1

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jokate Mwegelo amechukua nafasi ya Vanessa Mdee kama mtangazaji wa show mpya ya kituo cha TV1 kilichozinduliwa leo jijini Dar es Salaam. Awali Vanessa ndiye aliyekuwa amechukuliwa kuendesha kipindi hicho na tayari alikuwa ameanza kurekodi vipindi. Haijulikani mabadiliko hayo yamesababishwa na nini.
Vanessa
Jokate Mwegelo atakuwa akiendesha kipindi hicho akishirikiana na mtangazaji wa zamani wa Kiss FM na Times FM, Ezden Jumanne aka The Rocker.
MMG28728
Ezden Jumanne akiongea na waandishi wa habari leo kwenye uzinduzi wa kituo hicho uliofanyika jijini Dar. Pembeni yake ni Jokate Mwegelo
MMG28706
Jokate Mwegelo akiongea na waandishi wa habari
Show hiyo ni version ya Tanzania ya show kama hiyo inayorushwa kwenye kituo cha TV cha Viasat cha Ghana ambacho nacho kinamilikiwa na kampuni moja inayoimiliki TV1, MTG ya nchini Sweden.

Picha: Othman Michuzi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad