AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji Mtikila alisimama ghafla na kusema: Mwenyekiti kwanini unaninyima haki yangu ya kuzungumza, nataka kujua kwanini unaninyima haki ya kuzungumza. Kuzungumza ni haki yangu."
Mchungaji Mtikila amezungumza kwa jazba huku wajumbe wengine wakimzomea, lakini bila uwoga aliendelea kuzungumza na kusema yanayofanyika Mungu anapenda na yeye ana amini katika Mungu, lakini "Wewe Mwenyekiti inaonekana kuwa hupendi Mungu."
Wakati Mchungaji Mtikila akimwakia Kificho, Felix Mkosamali alilipuka na kumwambia mwenyekiti kuwa tangu jana pia anamnyima nafasi.
"Ninyi mmejipanga, kupitisha kanuni mbovu, alafu sisi wengine hamtupi nafasi," amesema Mkosamali.
Mwenyekiti Kificho aliwajibu kuwa kwa bahati mbaya wamekosa nafasi na hivyo wawe wavumilivu.
Kificho anatangaza utaratibu wa kumchagua Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge na wajumbe wanaotaka kugombea nafasi hiyo wametakiwa kuchukua fomu ya kugombea.
Bunge hilo limeahirishwa mpaka kesho na kanuni zitaanza kufanya kazi rasmi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
haya yetu macho na masikio mkitoana macho haya mkitoana masikio haya kz kwenu tunachotaka ni katiba ya miaka 100 ijato iliyo imara na nzuri
ReplyDeletesio miaka 100 ni miaka 500,mpaka yesu arudi
DeleteBUNGE LINAHITAJI MAOMBI/ DUA ILI LIPATE KIBALI KWA MUNGU..La Sivyo hakuna Muafaka..kila siku tutasikia kioja kipya Na muda unazidi kupotea.
DeleteBunge gani hili kila siku kughailishwa
ReplyDeletewengi wao wanavirus kwa hiyo msiwalaumu....brains zao azifanyi kazi vizuri ..ikizingatia wameshazoea rushwa,sisi aitupunguzii kitu waneng'eneke lakini at the end watapata muafaka.
DeleteTutaandamana paka dodoma au wadau mnasemaje? Wote wanaosumbua ni ma ccm pumbavu zao fyuuuuuuu8
ReplyDeletekhah miaka 500 hapana chezea
ReplyDeleteCCM imetoka wapi tena? wewe CHADEMA nini? maana ndio hawana adabu, sijui wamemtuma mtikila afanye fujo we akili yako kama haina akili mbulula we? watu wengine bwana wenzao wanachangia wao wanakunya.
ReplyDeletehuyu mtikila hana adbu
ReplyDelete