MRISHO NGASA AMWAGIA SIFA KEDEKEDE MCHEZAJI WA SIMBA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa mara nyingine tena katika kipindi cha wiki mbili, winga machachari wa klabu ya Yanga Mrisho Khalfan Ngassa amemsifia mshambuliaji wa timu mahasimu Simba Mburundi Amiss Tambwe.

Akitumia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter Mrisho Ngassa alimsifia Tambwe kwa kumuita mshambuliaji bora. Hatua hiyo ya Ngassa ilikuja baada ya Tambwe kufunga mabao mawili katika mchezo wa jana dhidi ya Ruvu Shooting uliopigwa uwanja wa taifa na Simba kutoka na ushindi wa 3-2.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hongera wengine hawawezi wivu umewajaa

    ReplyDelete

Top Post Ad