AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mboto alifunguka kupitia mahojiano maalum na Zourha Malisa, ambapo amedai kuwa wasanii wengi wa kike wa filamu za kitanzania (Bongo Movies) hawana mapenzi ya kweli na kwamba wengi wanaangalia maslahi zaidi.
Hata hivyo, alieleza kuwa hatamani kuwa na uhusiano na baadhi ya wasanii hao, bali inamlazimu kuzuia hisia zake ili kuepuka mambo mbalimbali yatakayoyumbisha maisha yake.
"Unajua mimi pia nina tamani na pengine wao wananitamani ila najizuia na wala sitaki kuruhusu majaribu kwani najua ninachokifanya huku kwenye tasnia yetu tunakijua hivyo ni lazima ujiepushe na mambo mengine." Alisema Mboto.
Ameeleza kuwa kuna waigizaji wengi wa kike ambao ni rafiki zake wa karibu na wanashirikiana vizuri kwenye kazi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ku date wasanii Kama huna hela ndefuuuuu ni maumivu,wooote wako kimaslai zaidi.Kama atakuwa anakupenda basi hutakuwa peke yako lazima pedeshee aweko pembeni Wa kumnunulia gari na nguo za kuringishia instagram Kama lulu kanumba.
ReplyDeleteOut of topic,Jamani naombeni mnifahamishe tafadhari wadau,kujenga nyuma ya vyumba viwili niwe na sh ngapi mkononi?nymba ya kawaida sina makuu,kiwanja kipo tayari,asanteni,siwezi kuongea na mafundi kwakuwa siko dar kwasasa.msaada tutani,roughly niwe na sh. Ngapi?
ReplyDeleteWe msenge nn maswali gn unauliza hayo au unatafuta basha wa kukujengea, usirudie tena kuuliza upuuzi wako huu kaamulize anayekupumulia kisogo pmbfuu
ReplyDeleteWagonjwa wengi kweli bongo,pole Wala sikulaumu.
DeleteHata mm namuunga mkono, maswali gan unauliza hayo we itakua shoga, sio bure huwez kuuliza upuuzi huo nenda maduka ya ujenzi ukajue bei za vifaa, maanina ww kima
ReplyDelete3m ila sebule haipo
ReplyDeleteAsante mdau angalau umenipa mwanga,bless you
DeleteMbona Hata wasichana wa kawaida siku hiz hawapendi kuolewa na walalahoi...mi naona ni kawaida tu...
ReplyDeleteWe msenge hadi leo hujajenga?usituletee umaskin humu kaulike ujenzi hakuna mason humu.
ReplyDelete