AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mh Lowassa na Mh Sumaye Wote wawili walishakuwa Mawaziri wakuu katika Serekali ya Tanzania kwa vipindi Tofauti na Wote kwa sasa kwa njia moja ama ingine wameonesha nia ya kuwania Nafasi ya Uraisi wa Tanzania 2015.....Je Tukilinganisha Utendaji wao wa Kazi walipokuwa Mawaziri na Kuchukulia hicho ndio kigezo cha kumpa mmoja Uraisi Nani alifanya Vizuri Kati yao....Taja Kitu Kizuri unachokumbuka
-John K
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hawa wote hawafii
ReplyDeleteUfisad,wiz wa epa
ReplyDeleteRichmond rowaaaahasa
ReplyDeleteRowasa safiiiiiii
ReplyDeleteSumaye lowasa mkabilaaaaa
ReplyDeleteMm binafsi ni mwanachama wa ccm, ila kulingana na tabia za hawa w2 , hakuna anayestaili kupewa uraisi wamefuja pesa nyingi sana, lowassa & sumaye kumanina zenu mmekula vya kutosha sana, endeleeni kula mali mlizoiba zinawatosha hadi mtakufa na mtaziacha, wasenge nyie wote wawili
ReplyDeleteHaahaha mamae zaooooooo
DeleteMimi naona Lowassa anasauti ys kufanya kitu diyo kama sumaye sijaona alichofanya miaka yake kumi. Lowasa aleta shule za kata anamazuri yake na mapungufu yske kama binadamu wa kawaida
ReplyDeleteWote walimaliza kazi zao Nakuta nchi hasara .bado wanataka kuiba tu .
ReplyDeleteHawafai kabisa: mbali ya wizi ni wachoyo. Futeni hayo majina kabisa. Hata huko tunapoomba misaada watatushangaaa....
ReplyDeleteBinaadamu kwelihatosheki mpakamchangawamwishokaburini pia hautowatoshahao.
ReplyDeleteWote nyie makuma tu,lowasa ndio jembe lakuongoza hii nchi,mtamfananisha na hilo shoga lenu,lema au mchezesha disco mbowe? Lowasa ana maalimmmuzi km kiongozi malaya nyie
ReplyDeleteKuma mwenyewe mavuzi wewe huyo lowasa wako hatumtaki alizokula zinamtosha
ReplyDeleteBinafsi nnaimani na lowasa maana najua anaweza kusema kama MTU atapnda..
ReplyDelete