Dr. Bingwa Maradhi ya Ebola huko Sierra Leone, Ameambukizwa Virusi vya Maradhi Hayo na Kufariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sheik Umar Khan, 39, was leading the fight to control an outbreak that has killed 206 people in the West African country

Dr. bingwa wa kupambana na maradhi ya Ebola huko Sierra Leone, Dr. Sheikh Umar Khan, ameambukizwa virusi vya maradhi hayo na kufariki dunia. Kabla ya hapo, wasaidizi wake watatu nao waliambukizwa na kufariki kwa maradhi hayohayo ya Ebola. Hali ni mbaya sana kiasi kwamba madaktari na manesi wanagoma kutibu wagonjwa wa maradhi ya Ebola. Zaidi ya watu 700 wameishafariki kwa maradhi haya hatari na ambayo hayana kinga,

Head doctor fighting Ebola outbreak in Sierra Leone contracts the deadly virus

Sheik Umar Khan has been hailed a 'national hero' by government for his work saving victims of the Ebola epidemic that has killed more than 600 people in West Africa.

The head doctor fighting the deadly tropical virus Ebola in Sierra Leone has himself caught the disease, the president's office said.

The 39-year-old Sheik Umar Khan, hailed as a "national hero" by the health ministry, was leading the fight to control an outbreak that has killed 206 people in the West African country.

There is no cure or vaccine for Ebola which can kill up to 90 percent of those infected, although the mortality rate of the current outbreak is lower at around 60 percent.

Across Guinea, Liberia and Sierra Leone, 632 people have died from the illness, according to the latest World Health Organisation (WHO) data, putting great strain on the health systems of some of Africa's poorest countries.

The WHO report, released on Saturday, showed that there were 19 new deaths and 67 new cases within the four days since its previous statement.

Source:telegraph
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad