Miss K-Lyinn Ndani ya Mahaba Niue Siyo Cinema ya Bongo Movie Wala Siyo Tamthiiria ya Sunche na Kapeto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni mapenzi ya kweli haya wala siyo cinema ya bongo movie wala  siyo tamthiiria ya Sunche na Kapeto. Miss K-Lyinn ndani ya mahaba niue kama king na queen vile Safi sana
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

26 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sana babu Kula bata. Lakini babu unamridhisha kweli huyo dada? Au unasaidiwa?

    ReplyDelete
  2. Anasaidiwa. Watoto mpaka wapandikizwe.Anasaidiwa na vijana.mwache k lyn atafune Hela maisha yenyewe mafupi.k lyn tulia na babu sio umlie Hela zake ukichoka usepe kwa vijana,Kama kina madam Rita,joketi mwegelo,etc

    ReplyDelete
  3. Le mutuz jamani naona unakata vitunguu vya futari kwa mosha.yani mwanaume mzima hata haipendezi

    ReplyDelete
  4. Bora muipotezee hii topic,Li klyne lishambaaaa,hata usipojisifia instagram tunajua unakula bata,Mzee Mengi anajulikana Ni tajiri,sasa kujisifiasifia Ina huuuuu?Si ukae kimya Tu ule matunda aliyoyacha mke Wa ndoa Wa mzee Mengi.tunakujua wewe golddigger,kinje ngombale alivyokuwa na Hela ukamganda Kama kumbikumbi,akateleza kidogo ukamkimbia,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hizi pesa hizi zitatumaliza WANAWAKE .babu Kama Huyu Kazi kwelikweli

      Delete
  5. Jamani hilo lijibaba linavyokazeesha hako kasichana duh...mbona kaazii

    ReplyDelete
  6. Pesa mama,Mengi Ni baby Si jibaba,jibaba Ni mtu ambae lofa Hana kitu.Nasikia Klyn anamchuna baby wake kisawasawa,alivyoona mzee anamsugua mimba aiingii anakimbilia ufaransa kupandikiza mayai ili amchune vizuri in the name of watoto,mzee machache anataka kumuoa Klyne,lakini k lyne anapindishapindisha hataki ndoa.mjini hapa

    ReplyDelete
  7. We muandishi unatia kinyaa sio tamthiiria bwana ni tamthilia. kiswahili kinakushinda kingereza sijui inakuaje. Umenisikitisha sio siri cdhani kama utapata dem wa maana labda kama una mapene maana na hizo swags za tamthiiria ukimtokea demu Wallah atakutemea mate

    ReplyDelete
  8. Acheni wivu nyie vinuka mkojo! Huwakuti Mengi wala Klyn kwa lolote! Nyie na ujana wenu mna nini zaidi ya stress za ukapuku?
    Kwanza vibamia pili hela hamna! mtasanda sana tuu!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hatuja msema mzee Mengi tunakusema wewe ambae unatafuna Hela yake,akikuambia ndoa unatoa nje,down deep unajua ukishashiba unasepa hutaki shombo ya ndoa.

      Delete
    2. Fanyeni yenu umbea tuu.aliewaambia hatoshelezwi nani usilolijua nisawa nausiku wa giza.waacheni klyn big up ukae navijana wanini hela za mawazo,shahawa foleni,upangwe km madum yanasubiri maji.tulia hvyo hvyo na bby machache Kula bata mpk kuku waogelee.kwani hao wengine siwalikuchezea hawakujua thamani yako sasa hivi uko na bby Wako midomo nyoko zenuuu wabongo mnawivuu.hatakama anavuna hela hayawahusu.maana huyo Baba mmemuona fala eeeh pumbavu zenu.

      Delete
  9. wanaume wanaitwa srengeti boys ss wanawake wanaitwaje wadau nisaidieni

    ReplyDelete
  10. mashoga zake mpo wapi mana alisema akipata wake apendi shoga zake wamshike mkono....aha....

    ReplyDelete
  11. Babu alianzaje kumtongoza? Au mdada aliji bebisha jamani. Maana ake mmmh, Ni pesa Tu cdhani kama mambo mengine ya kikubwa yanaenda sawa. Jongoo anapanda mti kweli?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jongoo kupanda ama kutopanda mti hilo sio tatizo lake. Cha msingi ni kuwa huyo Mdada si anao Ulimi wa kunyonya Mbooo wasi wasi ni nini???????

      Delete
  12. Kula maisha Baba. Usije dondoka na Air Malaysia bure hahaha

    ReplyDelete
  13. Sasa mlitaka atembee na baba zeni fukara ,acheni kujifajiri kwa kushinda blog kuponda watu na maisha yao fukara Wa maendeleo nyie

    ReplyDelete
  14. pesaaa weeee, pesaaa weeee, chezea pesa wewe!! lakini hapo lazima kuna kijana atakayekuwa anashughulikia mambo, ama bodigadi au mtu mwingine!

    ReplyDelete
  15. natamani niwe ex wa klyn nitakua kazi yangu kusugua kuma kisawa sawa na uboo afu huduma kwa kibabu chake ahahaaa..

    ReplyDelete
    Replies
    1. mibongo bwana ndo maana inakufa na magonjwa kila kukicha ,ridhikeni na wanawake zenu,mpyuuuuu

      Delete
  16. Yan hapo mzee amepata mtu na pamba anakula za kinyamwezi stress za ela lazma ziishe

    ReplyDelete
  17. Kula bata mdada! umebahatika kuaga ukapuku wa hawa njukuti wetu! Kelele nyingi Atms zinasoma negative! Hahaaa inahuuu!

    ReplyDelete
  18. Kabisaaa ATM negative,mwache Klyne ajilie vyake taratibuuuu,wanaume msfukara aihuuuuu babu weee,I hope hiyo safari ya ufaransa umeenda kupandikiza Mbegu ili utuletee vibaby vingine,aaa bible hata kumi,wotte watarisishwa Mali ,Mimi nampenda Jackie anajua kutumia ubongo wake,sio kina joketi wamemlia mzee helaaa weeee

    ReplyDelete
  19. Kwa raha zao waacheni miaka buku

    ReplyDelete
    Replies
    1. Haswaa kula bata kylne mi mwenyewe nakutamania kwelikweli uongo dhambi

      Delete

Top Post Ad