Bifu kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba ni Miradi ya Watu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya kuanzisha mashindano ya mbio kati ya farasi(Dimond) na kobe(kiba) na kutaka kuiaminisha dunia kuwa kobe ana mbio kushinda farasi, hatimaye ile miradi iliyotangazwa kwa nderemo na vifijo imeanza miradi hiyo yote inaonekana ilibuniwa kwa ustadi kabisa kwa kumtumia kiba na mtu aliyepo juu katika game ili kusudi pesa zipatikane kwa watu hao.

Miradi hiyo ni pamoja na Tshirt zilizoandikwa Kiba ni mfalme wa muziki, Dimond mwisho Tandale mjini kote kiba, Cd zilizoandikwa Kiba V Dimond, kwa mtu yeyote mwenye akili atagundua kumbe lile zomeazomea na mambo ya ajabu kama Dimond eti alisema mbeya hamna hoteli ya yeye kulala ilikuwa ni mipango ya watu wachache ya kutengeneza hela, laiti ingekuwa siasa ungesema ni siasa za maji taka, Kumbe hili bifu la kupikwa lilianzishwa ili watu fulani wapate hela na kwa uhunguzi wangu hawa watu wanajiita Team kiba.

Imani yangu ni kwamba mashabiki wa Kiba wapo tena wastaarabu lakini hizi hype zilizoanzishwa za Kiba V Dimond ni kwaajili ya manufaa ya watu wachhache ambao kwa maslahi yao wanataka kumchafua "Chibu Dangote" ili waje kutuuzia Tshirt na Cd zao uchwara ,kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuvaa Tshirt imeandika Dimond mwisho Tandale!!!

Tussuport muziki mzuri...
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. DIAMONDS ARE FOREVER

    ReplyDelete
  2. WEWE MWENYEWE MKUNDU 2 HUWEZI KUMFANANISHA KIBA NA KOBE MTAKE LAZI KUMAMAYO ZAKO WEWE. KAMA UMEJUA NI MIRADI YA WATU KWANINI UMTUS KIBA?

    ReplyDelete
  3. MKUNDU WEWE ULIYEANDIKA

    ReplyDelete

Top Post Ad