Nuh Mziwanda: Najifunza 'Ubaba wa Familia ' Kwa Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nuh Mziwanda a.k.a Babby wa Shilole, amesema kuwa kuzama katika penzi la bibie huyu na kuingia katika maisha yake kumemfundisha kitu kikubwa kabisa na kila siku anaendelea kujifunza namna ya kuishi katika familia akiwa kama baba katika umri mdogo.

Mkali huyu ambaye anashine na Ngoma ambayo pia ina bonge moja ya chupa, Msondongoma, amesema kuwa katika hatua ya mwanzo maisha haya mapya ndani ya familia ya shilole, yalikuwa yanampatia changamoto lakini sasa amengundua kuwa hili ni darasa poa kabisa la maisha yake ya baadae ya ubaba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

    ReplyDelete

Top Post Ad