AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa watu halafu ukatutolee maruerue! utegemee support yetu ..” – Diamond Platnumz
Wewe una maoni gani?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiyo sentensi ya mwisho imeharibu point yake. Anyway hongera kidoti.
ReplyDeletediamond.
ReplyDeleteSimuamini diamond yeye Ukiona anafanya kazi yoyote baada ya kazi lazima amtafute,kwakuwa washaonana kimwili anaweza kymrubuni akalala nae tena,wanawake sijui wakojeeee wanababaikaaaa Na diamond mi nahisi anatumia ushirikina kunasa warembo mbona mi nishatoka nae wala hakuna la ziada Wa kawaidaaaaa tu.Meninah Wa watu vikao vya harusi vimekufa,na mama yake diamond anaona sawaaaaa tu ngoja tusubiri kuarisha Na kutapika mara 22 kwa wiki.
ReplyDeleteAcha wivu wa kijinga kauze mbele kule nani hasiyekujua wewe muuzaji!?
Delete