AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akibonga na paparazi wetu hivi karibuni Dida alisema , hakuna kitu ambacho kwake anaona ni cha kipuuzi kama kugombea penzi , kwa kuwa mtu anapokusaliti ni wazi upendo wake umehamia kwa mtu mwingine hivyo hawezi kujing’ ang’ aniza.
“Nawashangaa sana wasichana wanaokosa kazi ya kufanya kwa kuanza kuwagombea wanaume, wengine wanadundana hadi kutoana manundu, hivi nigombee bwana kwani wanaume wameisha? Mimi nikimkuta mtu wangu yupo na mtu mwingine wala sijishughulishi, nachukua hamsini zangu, ” alisema Dida
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK