Iyobo: Mimba ya Mpenzi Wangu Aunty ni Faraja Kwangu na Tulizo la Roho Yangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dansa mahiri wa staa wa muziki Bongo na nje ya nchi, Nasibu Abdul  ‘Diamond’ aitwaye Moses Iyobo, amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mimba ya mpenzi wake ambaye ni mwigizaji wa filamu, Aunty  Ezekiel.

Akizungumzia ujauzito wa mpenzi wake,  Iyobo ambaye nyuma kidogo alipost picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kutoa pongezi kwa mpenzi wake huyo kwa kumbebea ujauzito, alisema kuwa hakuna kitu ambacho anaona fahari kama hicho.

Mimi tu nikiwaza mtu ambaye ninampenda kwa dhati ana mimba yangu napata faraja kubwa sana hivyo kila siku namuomba Mungu ajifungue salama na ampitishe katika majaribu mazito,” alisema Iyobo.

GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mwenye mzigo yuko ,mmmmmmmmmmmmmh

    ReplyDelete
  2. lazaro nyalandu mgombea urais. si wananchi wote watakuwa wajawazito

    ReplyDelete
  3. lazaro nyalandu mgombea urais. si wananchi wote watakuwa wajawazito

    ReplyDelete
  4. Aunty si ana mume lakini kaamuwa kufanya yake wote wana support kwanini diamond hawa support

    ReplyDelete
  5. sioni sababu ya wewe kujisifia hadharani kwa kudate na mke halali wa mtu, mbaya zaidi unajisifia kumpa ujauzito, HUO NI USHAMBA WA KUFIKIRI.

    ReplyDelete
  6. HAIPENDEZI HATA KDG, HUYO NI MKE WA MTU. WACHA KUPUBLISH UCHAFU!

    ReplyDelete
  7. Hata kama ingekuwa kweli ni mimba yako,ni ushamba tu,kila kitu mnatangaza?kama vipi
    tunataka kuona na cheti cha hospitali baada ya kupima ukimwi.

    ReplyDelete

Top Post Ad