"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa?.....Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"---Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kulikuwa  na  mvutano  mkali  sana  bungeni  wakati  wabunge  wakijadili  hoja  ya  Lipumba  kupigwa. Hapo  chini  nimekuwekea  michango  ya  Lusinde  na  Sadifa  waliyoitoa  Bungeni:
  
Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwa

Lusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa

Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni wanakuwa na hamsha hamsha ili wafikiriwe
 
Lusinde: Nawashauri wapiga debe mkiona watu wanaandamana magari hayatembei hampati pesa na nyinyi andamaneni.
  
Sadifa: Mnasema Lipumba kapigwa, hajapigwa hapo, kaguswa tu, huwezi kumlinganisha Lipumba na Kikwete.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa hiyo katiba ya nchi ,inavunjwa kwa watu kupigwa na viongozi wanabariki hali hiyo? chuki itaongezeka katika jamii,na mwisho,ufa,na heshima ya taifa ,haitakuwepo,na sura yetu kimataifa imesha haribika ni sawa na swala la kuuwa albino hili,kiongozi wa serikali kusema kupigwa ni haki? hilo ni kosa kubwa sana,kwa taifa changa kama la kwetu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Anatakiwa kujiuzulu Harajka sana

      Delete
  2. Huyu SADIFA nae sijui taka taka gani anajitaftia umaarufu kwa kasi...

    ReplyDelete
  3. MIYE SIWAELEWI HAWA WABUNGE NDO WANATAFUTA KIKI ???I

    ReplyDelete
  4. Ni vizuri viongozi wa siasa wapigwe mara nyingi wanapigwa na kuuawa wakati huu polisi wamefanya vizuri

    ReplyDelete

Top Post Ad