AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lipumba alikamatwa jana na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wakati alipokuwa akielekea eneo la Zakhem, Mbagala, kulikokuwa kumeandaliwa mkutano wa hadhara, kutoa taarifa kwa wafuasi waliokuwa wamekusanyika, kuwa mkutano na maandamano yamezuiliwa na Polisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
JAMANI CCM JAMANI CCM!!!!!
ReplyDeleteLakini Hawa jamaa wastaarabu
ReplyDeleteKweli hawajatumia nguvu wametumia nguvu kidoogo tuwachague tena hawana Shida Hawa , mnaonaje wadau, wapigwe tuuuuuuu!!!!!! Uma ya nguvu
Nguvu kidoooogo mnalia wapigwe tuu !!!! Uma ya nguvu
ReplyDelete