AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji huyo amedai anatii wito wake wa kinabii na kiroho alioitiwa na kufanya sawa na mapenzi ya Mungu kwa kuwapa mimba yeyote yule aliyechaguliwa na kuwekwa wazi na Roho mtakatifu bila kujali kama mwanamke huyo ameolewa ama la
Taarifa kutoka kwa familia za mchungaji huyo zinasema mkewe aitwaye Veronica Ngwu ambaye alichoshwa na tabia ya mumewe hasa alipompa ujauzito mdogo wake na kuamua kumripoti Polisi...
alimfukuza mkewe wa ndoa waliyezaa naye watoto watatu na kuanza kuwajaza mimba wake za watu na mabinti wadogo, we angalia boma lote limejaa watoto wa jinsia zote alilalamika kaka wa nabii...
Kuna mmama amepewa mimba yeye na binti yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hahahaha Duh huyu kiboko!
ReplyDeletehahahaaa, du huyu si mchezo yeye anakichezesha kitenesi chake tu, alafu hakosei, lazima afunge goli
ReplyDeleteWaongo wakubwaaaaaa!!
ReplyDeletehatareeeeeeeeeeee
ReplyDeleteWAJINGA NDIO WALIWAO AMEEENNNN!!!
ReplyDeleteKama Kweri Basi Dunia Inafika Mwisho,
ReplyDelete