Baada ya Amber Rose Kutoboa ya Moyoni, Kumbe Wolper Naye Yalishamkuta!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mara baada ya hapo jana mwanadada Amber Rose kutoboa ya moyoni na kueleza  kuwa  Wiz Khalifa ndio mwanaume pekee ambae anampa furaha na hatojali watu wanasema nini.

“My ManCrushEveryday you know what it is.... We went wrong somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do) he will forever be the love of my life. The media doesn't make it easy but fuck them we gotta live for reality and not society. We forever have a bond because we made a beautiful baby from our Love. Through all the ups and downs of our relationship my heart still beats for him every single day. I'm sick of putting on a front like I'm happy without him. I'm not. He makes me happy. He's the only one who can. Regardless of how our lives Turn out in the long run he will always be the skinny tatted up stoner that has my heart” Amber alimaliza na kubandika picha akidendeka na Wiz.

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper aliubandika tena ujumbe huo kwenye ukurasa wake mtandaoni na kundika maneno haya.

Asante dada Amber kitu hicho kimenitokea na niko happy Now na maisha yangu unajua beta kuwa Muwazi sema na moyo wako usiseme na mimoyo yao wanafkreee wanaojua kuongoza maisha ya watu kama wao ndo wamekuzaaa shenzeee .Sema na moyo wako rudi kwake ata kama wakikusema unajipendekeza poa tuu usisikize ushauri wamarafiki sometime wanakupoteza nahuwezi jua mapenzi yao kwako maana marafiki bwana ooh usijishushe we star we mzuri we unakosa nini.... Moyo aunaga uzuri wala ustar wala pesa.. Moyo ni moyo na mengne ni mengine maneno haya yametoka kwenye sakafu ya moyo wangu done ..happy 4 u Amber .
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wolper na jisura lako kama birimbi ustafute kiki wewe wa2 wako na wewe uko hebu tulia

    ReplyDelete

Top Post Ad