AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia taarifa ya habari ya ITV mbowe anasema hatutakubali kikwete aongezewe muda eti kwa sababu daftari la wapiga kura bado.akasisitiza lazima nchi itawaka moto..
Je una maoni Gani Kuhusu Kauli hiyo ya Mbowe?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Acheni ubwege.....,watakufa roho 3 ya watz,booooora Benjamini kuliko huyo jamaaaa.,
ReplyDeleteNani aliyetamka maneno hayo???shauri yenu msithubutu..tutachoma moto wote msione tumekaa kimya hatuwaogopi kwanza mpowachache sana nyie hamna lolote...
ReplyDeleteAnaeandaa hilo atalkufa mda si mrefu.,km mwenzie
ReplyDeleteYEYE NDIO ATAWAKA MOTO, SIO SISI AMBAO HATUTAKI MADARAKA
ReplyDeletehivi vitisho vya nini chura kumtishia tembo asinywe maji bwawani je tembo amewahi kutishika
ReplyDeleteAKIJIONGEZEA MUDA NDIO WALE WALE TUNAOWAITA MADIKTETA WASIOTAKA TOKA MADARAKANI, SI ALISEMA IKULU SIO PAHALA PAZURI SASA YA NINI? KUTAKA KUJIONGEZEA MUDA, AFATE DEMOKRASIA, SIO KUVUNJA DEMOKRASI KWA SABABU ZISIZO ZA MAANA AU MSINGI, TAMAA TU YA MADARAKA. KAMA MAMBO YAKE AJATIMIZA NA MUDA NDIO UNAISHIA ATAJIJU, HAWATOSHEKI, BINADAM HATA APEWE NINI? HATOSHEKI, ANA TAKA HIKI NA KILE, AMRI NI MOJA MUDA UKISHA HAKUNA KUNGANGANA MADARAKANI, PISHA MWENGINE, KWANZA VIONGOZI WENGI WENYEWE WA BARA HILI LA AFRICA WAMEKAAA KIMASLAHI YAO WENYEWE SIO KWA TAIFA NI MICHOSHO TU
ReplyDeletehuo ni uchochezi wa vurugu! hivi una njaa sana na hiko kiti we baba? na hata ukifika uchaguzi hutashinda wewe! subirini mda wenu bado na NI MARUFUKU KUTUVURUGIA AMANI YETU KWA NJAA ZENU!
ReplyDeleteupuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi mtupu mtaawaka moto wenyewe na slaa wako
Deletempumbavu huyo
DeleteHA HAAAAAAAAAAAAA
ReplyDeleteWACHA TUUWANE KWANZA TUPATE FUNDISHO,, WATAKAO PATA MAAFA ZAIDI NI WALE VIONGOZI WENYE TAMAA!
ReplyDelete