AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha za mwanamitindo ambaye pia amewahi kucheza filamu kadhaa, Hamisa Mobeto akiwa na ujauzitoo zimewashangaza wengi leo huko kwenye mtandao wa Instagram kwani sio tu ameonenaka na ujauzito bali habari zilizotoka na picha hizo ni kwamba mwanadada huyo tayari ameshajifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita.
Tofauti na mastaa wengi , ujauzito wa staa huyu ulikuwa siri na wengi hatukujua. Hongera sana Hamisa Mobeto.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hamisa mbayaaaa weweeee in Jyoti voice, umeamua kuwaonyesha Wabongo tumbo la mimba linafanaje. Ona lilivyowamba sasa kama limevutwa, nashangaa matumbo mengine yalivyo mtepeto kama vile ndani hakuna kiru, kweli wajinga ndio waliwao.
ReplyDelete