Wema Sepetu Afunguka Kwa Mapana na Marefu Kuhusu Siri ya Utajiri Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Live abetter life wengi wetu tumekuwa watu wa kulalamika maisha magumu, hakuna kazi na muda mwingine tunatupa lawama kwa Mungu kwanini amekuumba masikini.

Lakini bila kufikilia kwanini uzaliwe masikini na ukubali kufa masikini? ajira ziko nyingi sana lakini sababu ni ipi wewe ukose? elimu? rushwa? juhudi? au kukata tamaa? Je tangu umeamka leo umfanya kitu gani cha maana cha kukuingizia pesa? 

Iam sure kama upo Kijiweni, Kitandani au umejiachia sehemu ya starehe unapiga picha then unalalamika maisha magumu amka jitume pesa unayo tumia kuweka bando na kusoma umbea.

Uliwahi piga mahesabu kwa week unatumia shilingi ngapi kuweka vocha katika simu yako? na hiyo pesa ukiijumlisha kwa mwezi ni shilingi ngapi? Iam sure ni pesa ambayo inaweza kuwa mtaji wa biashara au mwanzo wa kulipia ada ukasome kozi furani ili uongeze juudi.

Hao matajiri wanaotutengenezea simu na vocha wote walianza na 0 now wako nusu number usilalamike maisha magumu wakati huna juudi yoyote uliyo fanya live a better life tumia vocha yako vizuri je ungependa kuwa kana Wema Sepetu.

Basi jifunze kujaribu kwani hta yeye alijaribu kuwa Miss na hakuwa na mategemeo ya kushinda but leo hii amekuwa tamanio la wengi, always try and never give up hata mimi sikutegemea kama leo hii ningekuwa kipenzi cha wengi but nilijaribu na nikafika.

Usiogope always try # Live abetter life# Be Wema fanya Wema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Upumbavu tu, sasa hapo siri ya utajiri wake ikowapi? maana sioni utajiri aliokuwa nao kulinganisha na mimi aliyemasikini lakini nimeridhika na maisha

    ReplyDelete
  2. Washa matoto nafrahi!!!

    ReplyDelete
  3. Wema sio Tajiri bali Ana pesa ya kubadilisha mboga akiacha kuuza mbunye wiki moja analala na njaa

    ReplyDelete

Top Post Ad