AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha hizi zimekuwa zikisambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii na wengi wameonyesha kuchukizwa na tabia iliyozuka ya mastaa wa Bongo kufanya hivi kwa kuwaiga mastaa wa nchi za ughaibuni.
Wewe je, unamaoni gani juu ya hizi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
maoni yakitolewa mnasema tunatukana sasa mtu anafanya upuuzi tumwangalie tu eti tukisema unalipa faini. akuu maoni toeni wenyewe waandishi, aah bwana inakela
ReplyDeleteKIOO CHA JAMIII AU CHOO CHA JAMIII?
DeleteElewesha,kemea kama kuna jambo haliko kweye mstari sahihi,mbaya matusi.
DeleteKama ulipanda magugu kwenye shamba lako basi usitegemee kuwa utakuja kuvuna mpunga
ReplyDeleteJamani mwacheni alinadi hilo tumbo mimba nyingine kupatikana ni shida sana. Huwezi jua na yeye ya kwake iliingia baada ya mganga kusafisha fimbo yake kwanza kutia baraka.
ReplyDeleteakitupia picha hizo Zari mnasapoti,ila huyu mnaponda.Bongo bwana.ni majanga sana.
ReplyDelete