AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huku akiongea kwa sauti kubwa hadi bar yote ya Flamingo ikisikia, Jack alitoa lugha za matusi kwa wageni wote walikuwa katika bar hiyo. Jack alijigamba pia kuwa kina Wema na Aunt Ezekiel hawana jipya kwake na ndio amesharudi Dar kusumbua mji.
Maaskari wamekuja na kutaka kumsweka ndani ila Jack akaomba msamaha na watu wengine wamemuombea msamaha.
Ndipo jack kaamua Flamingo nzima wapewe vinywaji na yeye analipa. Kabla ya bili kuja jack kamwaga madolari mezani.
Inaonekana Jack ana stress za maisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sifa za kijinga!
ReplyDeleteWakupima huyo sio mzima
ReplyDelete