AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UPDATES: - Mabasi yamepaki na machache yanayotoka nje ya mji yakifika Gongo la Mboto yanashusha abiria hayaendi mjini. Barabara ya Gongo la Mboto ilikuwa imefungwa kwa magogo na mawe mpka saa 12.30 askari walipokuja ndio wameyaondoa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hatari serikali ifanye jitihada ya kusikiliza madai yao
ReplyDeleteserikali yetu imelala imezoea mambo ya zamani mifumo mibovu ya kiutendaji iliyotumika enzi hizo hadi leo dunia imebadilika! Nashauru serikali ijayo ijaribu kutafuta wataalamu washauri wawasaidie kuplan mifumo mizuri ya kiutawala na ufanyaji kazi ........tofauti na sasa watafanikiwa!! lakini kwa staili hii ya bwa shemeji haaaaaa migomo daily maana hamna kuwajibishana everything stayz normal
ReplyDelete