CCM Kwa Sasa inakuwa ni Aibu Kugombania na Ukawa Sera na Zilizowashinda Miaka 53 ya Uhuru.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Unapomuona waziri wa uchukuzi akijibu Sera za UKAWA mtu makini anajiuliza maswali mengi sana. Kama mnampango wa kuboresha reli ya kati iweje isiboreshwe miaka 10 ya awamu ya 4?, Air Tanzania imepitia kipindi kigumu miaka 15 sasa mpaka kufikia kuwa shirika lisilo na tija kwa taifa alafu mnasema mnampango na ni sera yenu chama tawala nadhani pengine hii itakuwa akili ya kizee. UKAWA wana wajibu wa kurekebisha yale mlioshindwa katika awamu zote mlizoshikilia dola na kulala tu, Ukawa wanahaki kutumia udhaifu huo kama Kempeni dhidi yenu. Na kwa sasa inakuwa ni aibu kugombania sera zilizowashinda miaka 53 ya uhuru.

By Phil Mlay/Facebook
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad