PICHA Mbili za Mwigizaji Ray zilizozua Maneno Maneno Huku Instagram...Mashabiki Wampa za uso laivu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ray kawa Mzunguu  Revolution of a man 
 Kama Ni pesa basi 50cent angekuwa Na rangi ya mfupa

Comments za Baadhi ya Mashabiki wake hizi Hapa chini:

 kebbyrogers
Hivi huyu si mtoto wa kiume huyu au........😇

 dorin_onesmo
Anatumia vpodoz vya mpnz wake chuchu 1h

kikiedwin
Hereni za nini vaeni zile za kimasai msiige wazungu

 hamdansd11
Kajichubua kawa mzuri kama lulu na wema

hanceblicks
Huyu sasa ata kuwa mwanaume wa kwanza kubeba mimbaaa

6750_jay
 Ndio Mabadiliko aliyokuwa anatafuta ana utofaut na wanawake wakeko wenzao washindana kupata pesa na degree kuongeza vyetu wenyewe wanashindana kuwa weupe

 james_turuka
 MWEUSI ATABAKI MPOKI TU

gmbega 
Hii aibu, dume zima, au linatangaza biashara?

stara_gal Njoo umuone Ray kabadili housing @ashmanreal



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad