Wanaume Siku Hizi wana Vitambi na Kitandani Hawafanyi Kitu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


As usual, hivi mwanaume kinachokufanya uwe na mtumbo huooo kama hauendi chooni maana yake nini? angalau wanawake wana cha kusingizia(uzazi) japo sio sana.

Yaani siku hizi sio wembamba na vibonge wote wana vitambi, yaani hampendezi wala kuvutia kutazamwa, mwanaume unakuwaje na mtumbo mkubwa hivyo? Kiafya ni hatari, lakini pia kwa shughuli ya 6 kwa 6 ndio kabisaaa, goli moja mtu chaliii, thanx God mume wangu hana na nahakikisha hakiji,mazoezi kwa sana na kula healthy na kunywa maji mengi, bahati nzuri hata yeye hakipendi so am happy.

Unakuta kijana mdogo ana mtumbo huo hata kumuangalia inatia kichefuchefu, hebu fanyeni mazoezi bwana na muache kula kula kama mchwa na mibia kama mnamkomoa mtengenezaji wanawake wanalia kwenye ndoa zao huduma za kitandani hovyo kabisa kwasababu ya hiyo mitumbo yenu,mkichapiwa mtalalamika!?

Sio siri hiyo mitumbo yenu ni tatizo hebu chukueni hatua, migonjwa inawanyemelea mwisho mfe mapema mtuache tukihangaika na watoto peke yetu kwa uzembe wenu kitambi sio dili, piga vita minyama uzembe.

Am out.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad