Masanja Mkandamizaji Atoa Mpya "Mimi ni Mchungaji, Lakini Mbinguni g'o Sitaki Kwenda"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Emmanuel Mgaya, maarufu kama "Masanja Mkandamizaji" aliyejizoelea umaarufu katika fani yake ya uchekeshaji na kundi lake la "Ze Comedy" kwa sasa amegeukia kazi ya ushehereshaji na Uchungaji.

Katika moja ya Kazi yake hivi karibuni Masanja akiwa MC ktk tukio fulani alitoa mpya baada ya kuwashangaa waimbaji wa Kigali-Rwanda wa kwaya ya "AMBASSADOR OF CHRIST" ambao walipata ajali wakiwa wanatokea Tanzania.

Masanja anasema inakuwaje waliomba kifo kwa wimbo wao wa "KWETU PAZURI" lkn Mungu alipowachukuwa baadhi ya wenzao wale waliobaki wakaimba wimbo wa "KWANINI UMEYARUHUSU HAYA" yaani kwanini kawachukua wenzao?

Masanja anasema Kwanini washangae wakati wao ndio waliomba kwenda "kwao pazuri walipopakumbuka? Kwao hakuna malaria wala magonjwa".

Masanja anasema yeye hataki kabisa kwenda Mbinguni kwa sasa, bado yupoyupo.

Msikilize hapo:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete

Top Post Ad