AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo wakati wa maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi, Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr John Pombe Magufuli amesema kati ya watumishi hao hewa, 8,373 wanatoka Tamisemi na watumishi 1.922 wanatoka serikali kuu.
Amesema watumishi hao walikuwa wakiligharimu taifa sh. Bilioni 11.6 kwa mwezi sawa na Bilioni 139 kwa mwaka.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mungu wetu mbariki rais wetu JPJM.
ReplyDeleteNi CCm,
ReplyDeleteNi raisi Kikwete ambaye unamjua aliyeshindwa kuisimamia nchi na kutupeleka hapa.
Huu ukweli na kila mmoja anaujua. Mbona unakula naye sahani mmoja na hujaanza kumtumbua? Shida ni nini?