AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huku Instagram picha hizo mbili zimekuwa gumzo leo baada ya Mama mtoto wa Diamond kwasasa Zari Hassan na aliyekuwa mumewe Ivan Kuonekana wamepiga picha sehemu moja inayofanana kwenye sehemu ya kuogelea..Picha hizi zimeleta wasiwasi kuwa huenda wawili hao walikuwa pamoja wakiogelea huku wengine wakimtetea Zari na kusema kuwa yeye alikuwa hiyo sehemu siku nyingi lakini Ivan ameenda sehemu hiyo hiyo na kupiga picha na kuzitupia mtandaoni leo kumuumiza Diamod na kuwapa watu cha kuongea
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Hahaaaa hatariii mwacheni zari na yeye ale raha jamanii mbona diamond na yeye Ana msaliti kila siku alafu anajitia ooooh roho yangu....uongo mtupuuu anamfanyia zari Kama alivyokuwa anamfanyia penny hivyo hivyo...alikuwa anatoka na wema kisirii Siri akiambiwa anakataa halafu anaweka picha ya penny anasema this is my wife kumbe uongo mtupuuu penny alivyogundua Kama anadanganywa akaondoka zake!!!inawezekana zari kaisha gundua piaa...
ReplyDeleteKAAA WABONGO MMEZIDI JAMANI KHAAA!!! MWACHENI MTOTO WA WATU APUMUE KILA SIKU KUMTAFUTIA JAMBO TU. MAPICHA YA KALE NDIO MNATULETEA SASA!!! ACHANI HIZO VIBAYA JAMANI. DUUU.
ReplyDelete