AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tazama Video Hapa:
View original instagram or visit INK361
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
AHH Nikimkosa Wema hata huyu mama bado analika tu!
ReplyDeletemtu mzima ovyo
ReplyDeleteHalafu anapikia kisufuria cha bei rahisiii. Nje kwake kuchaf chaf. Ptuuu
DeleteDuh!Ashakhum si matusi lakini huyu bi mkubwa amepinda kisawasawa yaani siamini kuwa huyu bi mkubwa alikuwa ni mke wa marehemu Isaac Sepetu duh!nakoma ubishi kwa umri wake na kwa heshima ya marehemu mumewe badala ya kutengeneza yeye ndiyo yupo mstari wa mbele kuharibu
ReplyDeletena tabia yake kama yako
ReplyDeletekawakomesha! matusi kwa Wema mlifikiri Mama yake haumii. Mmeshushuka nyoooni.
ReplyDeleteAmedhiirisha ujinga uko ndani ya familia, aibu sana mama mtu mzima kufanya upuuzi wa aina hiyo.
DeleteYess. Mama anaejua kumpenda na kuwajibu mahayani walokosa kazi na kumtukana Mema.
ReplyDeleteMmmh!Huyu mama jamani.
ReplyDeleteujinga mtupu kwani asiyejua ya kweli na ya kuongeza nani. yule alikuwa nayo ya kawaida mazuri kama hayo mama ila sasa hivi yako pande nne mraba kwa kuongeza.
ReplyDeleteMmmh mungu msamehe
ReplyDeleteZee zima halina hata aibu
ReplyDeleteZee zima halina hata aibu
ReplyDeleteWazee wa mastaa kwanza wanakuwa wakali ,baadae mbona wanafata watoto wao wanavyotaka Pochi inabadili .mama Diamond amefikishwa Ulaya anampenda sana Zari kwa sasa.
DeleteKungekuwa hakuna tatizo mama angekaa kimya watu watajua wenyewe. The fact mama anakazana namna hii ni wazi kwamba mtoto alishajidunga mauchafu sasa badala ya kubishabisha tibuni infection haraka. Nendeni you tube muone vilio tena toka huku USA sembuse hizo za china. Be careful people msiigeige tu. Watoto wazuri mahangaiko sijui ya nini.Mnafikiri kina Nikki Minaj wanaakili nzuri? Igeni ya maana wajanja hawajidungi hata huku.
ReplyDeleteKubwa jinga
ReplyDeleteHuyu mama sio mzima, kweli like mother like daughter
ReplyDeletehata kama kajiongezea munawashwa na nini??? mbona mnakuwa mafala sana wakufatilia ishu za watu. hasara ni yake na familia yake au mna undugu naye.? katombweni!
ReplyDeleteyaani umejibu vizuri pongezi ILA kutukana sio busara
DeleteMmmh!!!time will tell
ReplyDelete